Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwandishi wa habari Erick Kabendera anyimwa ruhusa ya kumzika mama yake
Mahakama nchini Tanzania imedai haina mamlaka ya kutoa amri ya Kabendera kusindikizwa chini ya ulinzi kwenda kutoa heshima za mwisho kwa marehemu mama yake mzazi.