Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mlinzi matata wa timu ya taifa Kenya, Mickey Weche aelezea umaarufu wa Weah dimbani
Mchezaji nyota wa kandanda wa zamani wa Liberia, George Weah, leo anaapishwa kuwa Rais wa nchi mjini Monrovia pamoja na naibu wake Jewel Howard Taylor.
Weah alivuma sana uwanjani, na miongoni mwa wachezaji aliopambana nao ni mlinzi matata wa timu ya taifa ya Kenya Mickey Weche mwaka wa 1989 katika mechi za kufuzu kwa kombe la dunia.
John Nene amezungumza na Weche atueleze zaidi umaarufu wa Weah uwanjani na jinsi alivyokabiliana naye.