Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Samaki wanao kanda miguu katika bwawa la Chemka Tanzania
Wengi tunapenda kufanyiwa massage au kukandwakandwa mwili, lakini umewahi kuwaza kuwa mkandaji anaweza kuwa Samaki? Inashangaza au siyo?
David Nkya anatupeleka mkoani Kilimanjaro kaskazini mwa Tanzania kwenye Bwawa liiitwalo Chemka, humo kuna Samaki wanawafanyia watu Massage.