Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Sekta ya filamu imeendelea kukua kila kukicha nchini Tanzania
Sekta ya filamu imeendelea kukua kila kukicha nchini Tanzania, ambapo filamu zinazotengenezwa sasa zinavuka mipaka na kuoneshwa kimataifa.
T Junction ni miongoni mwa filamu hizo na licha ya kwamba imeigizwa na vijana chipukizi lakini maudhui yake yameweza kugusa wengi, na kuondoa kasumba ya wengi kutokupenda kuangalia filamu za Barani Afrika .
Esther Namuhisa wa BBC ni mmoja walioangalia filamu hiyo.