Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kwa nini Vijana wa Kenya wanauza kura?
Taarifa zinasema wakati zoezi la kuwasajili wapiga kura nchini Kenya likifikia ukingoni, vijana wengi licha ya kuchukua kura zao, wanasema wako radhi kuuza kura mradi wapate hela. Nini hasa kinawafanya vijana nchini Kenya kuuza kura yao?