Simba aliyetoka mbuga ya Nairobi auawa
Simba aliyetoroka mbuga ya taifa ya wanyamapori ya Nairobi nchini Kenya amepigwa risasi na kuuawa na maafisa wa kutunza wanyamapori baada ya kumshambulia na kumjeruhi mtu mmoja.
Simba aliyetoroka mbuga ya taifa ya wanyamapori ya Nairobi nchini Kenya amepigwa risasi na kuuawa na maafisa wa kutunza wanyamapori baada ya kumshambulia na kumjeruhi mtu mmoja.