Microsoft yanunua Nokia
Iliyokuwa kampuni kubwa zaidi ya kutengeza simu za mkononi, Nokia, imenunuliwa na kampuni ya Microsoft. Kampuni ya Nokia ambayo imwkuwa ikikabiliwa na changamoto za kifedha, ilitupilia mbali mfumo wake na kuasili ule wa Windows katika juhudi za kutaka kujikwamua kifedha.