'Vuguvugu pingamizi' la Raila sio halali asema waziri
Waziri wa usalama na masuala ya ndani,Fred Matiang'i ameiita vuguvugu pingamizi dhidi ya serikali,NRM kuwa 'kikundi cha wahalifu' gazeti binafsi la Nation limesema
'Matiang'i atangaza NRM kuwa kikundi cha uhalifu akinukuu kipengele cha 22 cha sheria ya uhalifu uliopangwa ya 2010' limesema gazeti hilo katika akaunti yake ya Twitter
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe

Chanzo cha picha, Raila Odinga/Twitter
Wakati huo huo Raila ametoa chapisho la 'kiapo' alilokisoma mapema leo. Nakala ya chapisho hilo imetiwa saini na Raila Odinga pamoja na wakili wake















