Wakili wa Masheikh wa Uamsho azungumza kuhusu kuachiliwa kwao

Maelezo ya sauti, Serikali ya Tanzania yaondoa kesi ya ugaidi dhidi ya Mashekhe wa Uamsho

Masheikh wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), waliokuwa gerezani nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka saba wameachiwa huru, bada ya mashtaka dhidi yao kufutwa. BBC imezungumza na mmoja wa mawakili wa mashekh hao, Abdallah Juma mbali na kuthibitisha wameachiwa