Wanawake wa Zambia wanavyotumia baiskeli kurahisisha shughuli zao za kila siku
Kama hauna gari na barabara ni mbovu sana, huwa inakua vigumu kupeleka bidhaa sokoni au kufika shuleni. Je baiskeli ni jibu ? Watu hawa wa Zambia wanahisi hivyo
Kama hauna gari na barabara ni mbovu sana, huwa inakua vigumu kupeleka bidhaa sokoni au kufika shuleni. Je baiskeli ni jibu ? Watu hawa wa Zambia wanahisi hivyo