Milki za kiarabu zaanza safari ya kwanza kwenda sayari ya Mars

Maelezo ya video, Mwanamke aliyeongoza safari ya Mars

Jumuiya ya nchi za falme za kiarabu imetuma chombo cha anga kwa jina, 'Hope, to Mars'.

Sarah Al-Amiri, ni mwanasayansi wa falme za kiarabu aliyeongoza mpango wa safari ya kwenda sayari ya Mars kwa kipindi cha miaka sita.