'Umeolewa au hujaolewa'
Wanawake wawili nchini Kuwait wanasimulia jinsi walivyokosa huduma kutoka kwa daktari bingwa wa wanawake baada ya daktari kugundua kuwa hawajaolewa.
Wanawake wawili nchini Kuwait wanasimulia jinsi walivyokosa huduma kutoka kwa daktari bingwa wa wanawake baada ya daktari kugundua kuwa hawajaolewa.