Sensa 2019: Kenya yaanza zoezi la kuhesabu watu

Kenya imeanza zoezi la kuhesabu watu yaani sensa. Serikali hutumia shughuli hii ili kujua jinsi ya kupanga na kukadiria matumizi ya raslimali na fedha lakini pia wanasiasa hutumia idadi ya watu na maeneo walioko kutathmini azma zao za kisiasa

Mafisa wa usalama pamoja na maafisa wa kuhesabu watu mudamfupi kabla ya kuanza kwa shughuli ya sensa ya kitaifa katika eneo la Ngong viungani mwa mji Mkuu wa Nairobi.
Maelezo ya picha, Mafisa wa usalama pamoja na maafisa wa kuhesabu watu mudamfupi kabla ya kuanza kwa shughuli ya sensa ya kitaifa katika eneo la Ngong viungani mwa mji Mkuu wa Nairobi.
Maafisa wakuhesabui watu muda mfupi kabla ya kuanza kwa shughuli ya sensa ya kitaifa nchini Kenya.
Maelezo ya picha, Maafisa wakuhesabui watu muda mfupi kabla ya kuanza kwa shughuli ya sensa ya kitaifa nchini Kenya.
Usalama umeimarishwa kama alivyoahidi waziri wa Usalama wa ndani Dk Fred Matiang'i
Maelezo ya picha, Usalama umeimarishwa kama alivyoahidi Waziri wa Usalama wa ndani Dk Fred Matiang'i.
Baadhi ya maafisa wa sensa wakipokea maelezo ya mwisho mwisho muda mfupi kaba ya kuanza kwa shughuli ya kitaifa ya kuhesabu watu nchini Kenya.
Maelezo ya picha, Baadhi ya maafisa wa sensa wakipokea maelezo ya mwisho mwisho muda mfupi kaba ya kuanza kwa shughuli ya kitaifa ya kuhesabu watu nchini Kenya.
Baadhi ya maafisa wa kuhesabu watu wakisubiri maelezo ya mwisho kabla ya kuelekea katika maeneo waliopangiwa kufanya shughuli ya kuhesabu watu.
Maelezo ya picha, Baadhi ya maafisa wa kuhesabu watu wakisubiri maelezo ya mwisho kabla ya kuelekea katika maeneo waliopangiwa kufanya shughuli ya kuhesabu watu.
Loise Leonita afisa wa kuhesabu ya watu akiwa katika harakati ya kujiandaakuelekea katika eneo lake la kazi.
Maelezo ya picha, Loise Leonita afisa wa kuhesabu ya watu akiwa katika harakati ya kujiandaakuelekea katika eneo lake la kazi.
Baadhi ya wananchi jijini Nairobi wakielekea nyumbani kabla ya saa kumi na mbili jioni kama walivyoagizwa iliwaaeze kuhesabiwa wakiwa majumbani mwao.
Maelezo ya picha, Baadhi ya wananchi jijini Nairobi wakielekea nyumbani kabla ya saa kumi na mbili jioni kama walivyoagizwa iliwaaeze kuhesabiwa wakiwa majumbani mwao.
Maeneo ya kuuza pombe yamefungwa kama ilivyoagizwa iliwahudumu wapate kushiriki zoezi la kitaifa la kuhesabu watu.
Maelezo ya picha, Maeneo ya kuuza pombe yamefungwa kama ilivyoagizwa iliwahudumu wapate kushiriki zoezi la kitaifa la kuhesabu watu.
Baadhi ya watu wa kurandaranda mitaani wakisubiri kuhesabiwa
Maelezo ya picha, Baadhi ya watu wa kurandaranda mitaani wakisubiri kuhesabiwa
Kenya itakuwa nchi ya kwanza barani Afrika kukusanya data ya watu wenye jinsia mbili katika sensa ya kitaifa.
Maelezo ya picha, Kenya itakuwa nchi ya kwanza barani Afrika kukusanya data ya watu wenye jinsia mbili katika sensa ya kitaifa.
Raia nchini Kenya wamekuwa wakitumia mitandao ya kijamii kuelezea kutoridhishwa kwao na hatua ya kufunga maeneo ya burudani ili kufanikisha mpango wa kitaifa wa kuhesabu watu.
Maelezo ya picha, Raia nchini Kenya wamekuwa wakitumia mitandao ya kijamii kuelezea kutoridhishwa kwao na hatua ya kufunga maeneo ya burudani ili kufanikisha mpango wa kitaifa wa kuhesabu watu.