Katika kisiwa cha Kilwa kuna wakati ilikuwa dola inayojitawala na kusifika kwa utajiri

Maelezo ya video, Katika kisiwa cha Kilwa kuna wakati ilikuwa dola inayojitawala na kusifika kwa utajiri

Kisiwa cha Kilwa kuna wakati ilikuwa dola inayojitawala na kusifika kwa utajiri, lakini sasa eneo hilo ni mji katika mkoa wa lindi ulioko kusini mwa Tanzania ambapo hata maendeleo ya eneo hilo yapo nyuma kiuchumi.