Wafanyikazi wanapinga pendekezo la uongozi wa uwanja huo kupewa kampuni ya ndege ya Kenya Airways.
Maelfu ya wasafiri wa ndege waliokuwa wakisafiri maeneo tofauti duniani walijipata bila pa kwenda siku ya Jumatano baada ya wafanyikazi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa JKIA nchini Kenya kugoma.









