Asilimia tatu ya wakaazi wa Birmingham hutumia baiskeli
Utawala wa Mji wa Birmingham unataka 5% ya safari za kuelekea mjini zifanywe kutumia baiskeli kufikia mwaka wa 2023.
Kwa sasa 3% ya safari hizo ni za baiskeli. Je, ungependelea kutumia baiskeli kama njia ya usafiri? Sema nasi kwenye ukurasa wa facebook, bbcnewsSwahili.