Kwa picha: Uchaguzi wa Zimbabwe ulivyoshuhudia umati mkubwa wa wapiga kura.
Milolongo mirefu imeshuhudiwa katika vituo vya kupigia kura, kwenye uchaguzi ambao chama cha upinzani kinatarajia ushindi dhidi ya chama cha ZANU PF ambacho kimeitawala Zimbabwe tangu ijipatie uhuru

Chanzo cha picha, AFP

Chanzo cha picha, AFP

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, AFP


