Dereva wa magari makubwa yafanyayo safari za masafa marefu
Stella Radini wa nchini Tanzania ni mama wa watoto wawili anayefanya kazi ya udereva wa magari makubwa yafanyayo safari za masafa marefu kwa takriban miaka 16 sasa.
Stella Radini wa nchini Tanzania ni mama wa watoto wawili anayefanya kazi ya udereva wa magari makubwa yafanyayo safari za masafa marefu kwa takriban miaka 16 sasa.