Je, kuna ufahamu juu ya unyanyasaji wa wanawake usafiri wa umma Tanzania?
Katika Haba na Haba, tunaangazia unyanyasaji wa wanawake kwenye usafiri wa umma. Je wanawake wanajua unyanyasaji huu unatokea na je sehemu gani ya kupiga ripoti unyanyasaji huo?