Watengezaji vikapu wafurahia marufuku ya mifuko ya plastiki Kenya
Huko Mombasa pwani ya Kenya, wafanya biashara wa vikapu wamepokea kwa furaha marufuku ya mifuko ya plastiki nchini Kenya kwani wanajua biashara yao ya kuuza vikapu sasa itanoga baada ya ukame wa miaka kadhaa…..John Nene amekua huko na akazungumza kwanza na Kezia Oloo kisha Eunice Musomba.