Kwa Picha: Foleni, mitindo na bashasha Uchaguzi Mkuu Kenya 2017
Wapiga kura nchini Kenya walishiriki uchaguzi mkuu Jumanne, baadhi wakifika mapema sana kabla ya vituo kufunguliwa. Kuna wale waliofika kwa mitindo ya aina yake na wengine wakatumia mkusanyiko wa watu kama fursa ya kibiashara.

Chanzo cha picha, Reuters






Chanzo cha picha, EPA












