Kwa Picha: Moto wa London

Moto mkubwa umeteketeza jengo refu la makazi kusini mwa London usiku wa kuamkia leo

The fire brigade said 40 fire engines and 200 firefighters had been called to the blaze in Grenfell Tower

Chanzo cha picha, AFP/Guilio Thubum

Maelezo ya picha, Moto mkubwa ulitokea kwenye jengo moja magharibi mwa London usiku wa kumkia leo. Moto katika jengo la Grenfeel tower uliripotiwa saa 00:54BST
The fire appeared to take hold of the building in one corner before engulfing the tower block

Chanzo cha picha, Natalie Oxford/PA

Maelezo ya picha, Kulingana wale walioshuhudia moto huo ulionekana kuanzia neo moja la jengo kabla ya kusambaa kuenda jengo lote
Gurbuz Binici,

Chanzo cha picha, Gurbuz Binici /Getty Images

Maelezo ya picha, Walioshuhudia wameelezea watu waliokuwa wakipiga nduru wengine wakiruka kutoka manyumbani mwao kutafuta usalama
Flames and smoke billow out of Grenfell Tower

Chanzo cha picha, Reuters/Toby Melville

Maelezo ya picha, Moto uliteketeza jengo hilo ukianzia ghorofa ya pili na kusambaa hadi sehemu ya juu kabisa ya jengo
As dawn breaks over west London, the fire continued to rage.

Chanzo cha picha, Reuters/Toby Melville

Maelezo ya picha, Kilichosababisha moto huo bado hakijulikani
Grenfell Tower in the early hours of 14 June

Chanzo cha picha, AFP/Natalie Oxford

Maelezo ya picha, "Kilikuwa ni kitu kutoka kwa filamu ya Hollywood," mmoja wa wakaazi wa jengo hilo aliiambia BBC
Firefighters continue their efforts to put out the fire, as daylight shows the complete destruction of Grenfell Tower

Chanzo cha picha, Reuters/Toby Melville

Maelezo ya picha, Wakati wazima moto wanajaribu kuzima moto, maswali yameibuka kuhusu kile kilisababisha moto huo na ni kwa nini ulisambaa kwa haraka sana
The A40 - a major route in and out of London - was closed both ways as rush hour began with smoke continuing to pour out of the building

Chanzo cha picha, Reuters/Toby Melville

Maelezo ya picha, Meya wa London Sadiq Khan ametangaza moto huo kuwa mkasa mkubwa
Firefighters use a jet to tackle the huge fire at Grenfell Tower in Latimer Road, West London

Chanzo cha picha, getty/Leon Neal

Maelezo ya picha, Wale wanaoishi karibu na jengo hilo waliamkia moshi wakati zima mopto walijaribu kupambana na moto huo
Helicopter circles Grenfell Tower

Chanzo cha picha, Carl Court/Getty Images

Maelezo ya picha, Helikopta ikipita huku moshi ukitoka kwenye jengo lililoteketea