Rubani anayewafunza watoto urubani Kenya
Nchini Kenya rubani mstaafu Nick Ng'ethe ameamua kuanzisha mafunzo maalum ya urubani kwa vijana kutoka familia maskini waliyo na ndoto ya kuwa Rubani.
Nchini Kenya rubani mstaafu Nick Ng'ethe ameamua kuanzisha mafunzo maalum ya urubani kwa vijana kutoka familia maskini waliyo na ndoto ya kuwa Rubani.