Wagonjwa wa upasuaji Uingereza kuhudumiwa kupitia programu ya simu
Janga la Corona limesababisha wagonjwa wengi wanaohitaji upasuaji kucheleweshewa huduma hiyo muhimu ili kuwapa kipaumbele wagonjwa wa virusi vya corona. Kwa sasa madaktari Uingereza wametafuta njia mpya mbadala ya kuwasaidia wagonjwa wa upasuaji kwa kutumia programu ya simu. Nini maoni yako kuhusu taarifa hii ? Sema nasi.
