Wacahezaji wa Liverpool watetea mauwaji ya Floyd
Wachezaji wa Liverpool walipiga goti moja katika uwanja wa Anfield kutetea mauwaji ya mmarekani mweusi George Floyd aliuewawa na polisi huko Minneapolis Marekani. Picha iliyo na wachezaji hao 29 ilikua imeandikwa "Umoja ni nguvu. Na hashtagi ya #BlackLivesMatter".