Wanachama wa Chadema wakishangilia kuachiwa huru kwa Mbowe
Mahakama hiyo ilikuwa inamshikilia Mbowe na wenzake watatu kwa kesi ya kujibu kuhusiana na tuhuma mbalimbali zikiwemo za kupanga njama za kufanya vitendo vya kigaidi.
Mahakama hiyo ilikuwa inamshikilia Mbowe na wenzake watatu kwa kesi ya kujibu kuhusiana na tuhuma mbalimbali zikiwemo za kupanga njama za kufanya vitendo vya kigaidi.